
Gausha marehemu Travyvon Martin na muuaji George
Vita baridi ndio ina iliyopewa tukio linaloendelea kwa sasa nchini marekani ambapo kijana mwenye asili kiafrika Travyvon Martin kuuwa na mmarekani mwenye mweupe Geoge Zimmerman.
Young Jeezy ameamua kuingia studio na kutumia muda wake kutunga nyimbo kwa ajili ya kijana Travyvon Martin huku akiibatiza jina la VITA BARIDI.
Pia Gausha Terrel bondia wa olimpik wa marekani ametangza rasmi kutoendelea kuvaa bukta ambayo inaonyesha bendera ya marekani.
Gausha ameguswa na tukio hilo kama mtu mweusi,amesema ajisikii kujivunia tena kuwa mmarekani kama matukio kama haya yanatokea.
George ambaye ni mwanausalama alikiri kumuua Travyvon huku akidai alifanya hivyo ka kujihami ameachiwa huru kwa kutoshikwa na hatia ya kumtia hukumuni huku hatua hiyo ikipingwa na watu wengi sana.
Gausha ameonesha kuchukizwa na tukio hilo amablo anasema ni ubaguzi wa rangi.

Gausha katangaza hatavaa bukta kama hili
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni