Mlipuko ulisababisha maafa kwa umbali wa km 250 sawasa na maili 155 ni umbali mkubwa huku watu 1000 wakipatiwa msaada wa uokozi huku moshi mzito na hewa ikiathiriwa kwa eneo kubwa.
Mashaidi wanasema kuwa chanzo ni mwendo kasi wa treni ulikuwa mkubwa lakini wenyewe wanasema injini ndio chanzo.
Mashaidi walisema kuwa treni hilo lilkuwa linaongeza mafuta na kubadilishana madereva ndipo mlipuko ukatokea
Treni ilikuwa imebeba mafuta ghafi kutoka Shamba Bakken katika North Dakota. Montreal, Maine & Atlantic na kusafiri zaidi ya 800km (500 miles) ya kufuatilia kuwahudumia Maine, Vermont, Quebec na New Brunswick.
Waziri Mkuu Stephen Hurpher alisema kuwa macho yao yote ni kuwasaiidai na kuwaombea waliothirika.
Treni lilkuwa na matrela 73 yaliyojazwa mafuta na kusababisha mlipuko hatari katka eneo hilo kribu na mpaka na nchi ya Marekani.



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni