Shirikisho la soka la ulaya Uefa limebainisha kuwa mchakato huo utafanyika Monaco Agust mwaka huu amabapo wanahabari mbalimbali kutoka nchi mwanachama wa UEFA watakutana kumchagua mchezaji bora wa UEFA.
Mchakato huo utakuwa unamtaka kila mwandishi wa habari kuandika majina matano ya wachezaji amabao anaona wanafaa ila mchezaji wake wa kanza kumuandika ambaye anaona ni bora zaidi atapata kura 5,na wa pili 4 na kuendelea.
Hivyo mchezaji atakayejikusanyia pointi nyinga ndiye atakayeibuka mshindi.
Tukirudi miakamiwili iliyopita Tunzo ya mwaka 2011 ilichukliwa na Lion Messi na mwaka 2012 ilibebwa na Andrea Iniesta wote kutoka Barcelona.
UCHAMBUZI WA MCHOPER
Mwaka huu kutakuwa na mchuanao mkubwa kwani mabingwa wa kombe hilo wameingiza wachezaji wanne Bastian Shchweinsteiger,Arjen Robben,Frank Riber,Thomas Mullar ambao kwa pamoja walitoa mchango mkubwa kwa timu yao.
Ikumbukwe pia msimu ulipita ulikuwa mzuri kwa mshambuiji Varn Persie ingawa hakutwaa kombe la mabingwa UEFA.Ila kutwaa ligi kuu ya Uingereza na kuibuka kinara wa mabao na mchango wake unaweza ukukubumkwa na wanahabari.
Gareth Bale ni Mchezaji ambaye kwa wakati huu anastahili kupewa heshima kubwa kwa mchango wake kwa klabu ya Tottenhama Spurs.
Hakuna shaka hili jina la Lobert Lendowski lilipata kujulikana sana mwaka uliopita pamoja alikuwa akifanya vizuri klabuni pake ila kuingia kwa timu yake ligi ya mabingwa wakati wakiwa kwenye kiwango kizuri huku akitoa mchango mkubwa tunakumbuka alipoiangamiza Real Madrid kunaweza kukachochea wapiga kura kukumbuka kuwa anastahili.
Lion Messi sio kama wakati umepita wa kunga'aa bado yupo kwenye kiwango vizuri na alitoa mchango mkubwa tuu kwa kalbau yake na alipachika mabao ya kutosha na kusiadia klabu yake kutwaa LA LIGA.
Cristiano Ronaldo nadhani alihuzunika sana kulikosa kombe hili kwani ingekuwa ni tiketi nzuri ya kummrahisishia LAKINI hapa hawangalii hilo tu wanaangalia mchano binafsi wa mchezaji ndipo Ronaldo anapoonekana kufaa kwani ndiye mfungaji bora wa kombe la mabingwa uaya UEFA.
Zlatan Ibramohich hakuna shaka kuwa kila aliyeingia humu anastahahili huyu ndiye mchezaji kutoka Sweden kuwa na kipaji cha ajabu hakosei akipewa jukuma kama alilonalo kwa PSG kasaidia kuwapa ubingwa.
mchoper hosseah
IBRAHIMOVIC ZLATAN
SWEDEN-PSG
ROBERT LEWANDOWSKI
POLAND-BORUSSIA DORTMUND
CRISTIANO RONALDO
URENO-REAL MADRID
FRANK RIBERY
UFARANSA-BAYERN MUNICH
ROBBEN VAN PERSIE
UHOLANZI-MANCHESTER UNITED
GARETH BALE
WALES-TOTTENHAM SPURS
LIONEL MESSI
ARGENTINA-BARCELONA
THOMASS MULLER
UJERUMANI-BAYERN MUNICH
ARJEN ROBBEN
UHOLANZI BAYERN MUNICH
SEBASTIAN SCHWEINSTEIGER
UJERUMANI-BAYERN MUNICH
HII NDIO ORODHA YA KWANZA KABLA YA KUCHAGULIWA KUMI 10 BORA
Gareth Bale (WAL) – Tottenham Hotspur FC
Edinson Cavani (URU) – SSC Napoli
Cristiano Ronaldo (POR) – Real Madrid CF
Dante (BRA) – FC Bayern München
Edin Džeko (BIH) – Manchester City FC
Falcao (COL) – Club Atlético de Madrid (now at AS Monaco FC)
Mario Götze (GER) – Borussia Dortmund (now at FC Bayern München)
İlkay Gündoğan (GER) – Borussia Dortmund
Zlatan Ibrahimović (SWE) – Paris Saint-Germain FC
Andrés Iniesta (ESP) – FC Barcelona
Branislav Ivanović (SRB) – Chelsea FC
Javi Martínez (ESP) – FC Bayern München
Philipp Lahm (GER) – FC Bayern München
Robert Lewandowski (POL) – Borussia Dortmund
Mario Mandžukić (CRO) – FC Bayern München
Lionel Messi (ARG) – FC Barcelona
Thomas Müller (GER) – FC Bayern München
Manuel Neuer (GER) – FC Bayern München
Óscar Cardozo (PAR) – SL Benfica
Andrea Pirlo (ITA) – Juventus
Franck Ribéry (FRA) – FC Bayern München
Arjen Robben (NED) – FC Bayern München
Bastian Schweinsteiger (GER) – FC Bayern München
Robin van Persie (NED) – Manchester United FC
Arturo Vidal (CHI) – Juventus
Xavi Hernández (ESP) – FC Barcelona
Edinson Cavani (URU) – SSC Napoli
Cristiano Ronaldo (POR) – Real Madrid CF
Dante (BRA) – FC Bayern München
Edin Džeko (BIH) – Manchester City FC
Falcao (COL) – Club Atlético de Madrid (now at AS Monaco FC)
Mario Götze (GER) – Borussia Dortmund (now at FC Bayern München)
İlkay Gündoğan (GER) – Borussia Dortmund
Zlatan Ibrahimović (SWE) – Paris Saint-Germain FC
Andrés Iniesta (ESP) – FC Barcelona
Branislav Ivanović (SRB) – Chelsea FC
Javi Martínez (ESP) – FC Bayern München
Philipp Lahm (GER) – FC Bayern München
Robert Lewandowski (POL) – Borussia Dortmund
Mario Mandžukić (CRO) – FC Bayern München
Lionel Messi (ARG) – FC Barcelona
Thomas Müller (GER) – FC Bayern München
Manuel Neuer (GER) – FC Bayern München
Óscar Cardozo (PAR) – SL Benfica
Andrea Pirlo (ITA) – Juventus
Franck Ribéry (FRA) – FC Bayern München
Arjen Robben (NED) – FC Bayern München
Bastian Schweinsteiger (GER) – FC Bayern München
Robin van Persie (NED) – Manchester United FC
Arturo Vidal (CHI) – Juventus
Xavi Hernández (ESP) – FC Barcelona
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni