WATOTO KUMI WALIOZALIWA KIMAAJABU NA UPEKEE DUNIANI
Inasemekana kila siku mamia elfu ya watoto wanazaliwa lakini baadhi yao wanakuwa na upungufu.Wengine wanawaita watoto wa MAAJABU na wengine wansema ni AJALI ZA MAUMBILE sasa hapa wewe anaglia hawa watoto ni maajabu au ajali za kimaumbile

India mwaka 2001 alizaliwa akiwa na mkiawa nchi 10 na anchukuliwa kama muungu


10. MTOTO MWENYE MKIA

9. MTOTO MWENYE VIDOLE 16

Alizaliwa Chinina November 5 2008 akiwa na vidole nane kila mguu na bila kidole gumba
8. MIGUU MINNE NA MIKONO MINNE

Lakshima Tatima alizaliwa India aliwa na mikono minne na miguu minne





Inavutia sana.Wazazi sawa,tarehe ya kuzaliwa sawa,mfuko mmoja wa uzazi.lakini watoto hawa ni jamii ua tofauti


7. MTOTO MWENYE VICHWA VIWILI

Mwaka 2008 alizaliwa akiwa na vichwa viwili
6. Mutated Baby

.Alizaliwa mwaaka 2006 akaitwa anencephaly.alaizaliwa na matatizo ya ubongo
5. MTOTO ALIYEZALIWA AKIWA AINA HRLEQUIN- ICHTHYOSIS

alizaliwa Gilgit,Pakistani alikuwa na ngozi kama ya Tiger aalizaliwa march 2010.Kulionekana kama kuna kitu hakiko sawa katika mikono,midomo na vifuniko macho alifariki muda mfupi baada ya kuzaliwa
4.MTOTO MDOGO ZAIDI KUZALIWA DUNIANI

Amillia Taylor ni mtoto aliyeeka rekodi ya kuwa mtoto mdogo kuzaliwa ni kama bahati .
3. Inter-racial Twins

Inavutia sana.Wazazi sawa,tarehe ya kuzaliwa sawa,mfuko mmoja wa uzazi.lakini watoto hawa ni jamii ua tofauti
2. MWAKA MMOJA LAKINI MJAMZITO

Huyu ni mtoto wa kike ambaye alibeba mimba iliyotokana na vimelea vya pacha wake tumboni.ila sasa yuko sawa
1. BAADA KUFA ARUDISHA UHAI - MTOTO WA MAAJABU

Ni mahajabu makubwa sana kwani mtoto huyu baada ya kuzaliwa alitangazwa kuwa alifariki ila baa ya masaa mawil 2i alirejeza uhai wake
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni