Alhamisi, 20 Juni 2013

JENNIFER LOPEZ NA MARC ANTHONY WAUNGANA PAMOJA

Jennifer Lopeza na Marc Anthony walijkuta wanaungana tena pamoja jumatano hii baada ya kukutana shuleni amabako watoto wao wanasoma muda wa kuwafuata na kuwarudisha nyumbani.
Kwa pamoja walionekana kufurahi na watoto wao huku Marc Anthony akianza kumkiss Emme na pia Max.
Watoto hao walionekana kufurahi kuwaona wazazi wao wapo pamoja kuwasubiri.
Marc Athony na Jennifer Lopez  mahusiano yao yaliwavutia watu wengi sana duniani kabla ya kutengana

 hapa wakiwa wamekutana jumatano shulen kwa watoto wao Emme na MAx
hapa wakiwa pamoja enzi za mapenzi yao

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni