Jumapili, 18 Agosti 2013

ROONEY AGOMA KUSHANGILIA PICHA 10 ZA ROONEY KATIKA MECHI YA SWANSEA

PAMOJA NA MSHAMBULIAJI HATARI WA MANCHESTER UNITED WAYNE ROONEY  KUAMUA KUBAKIA OT NA KUINGIA UWANJANI DK 61 BAADA YA KUCHUKUA NAFAIS YA GIGGS NA KUTENGENEZA MABAO MAWILI ROONEY...ALIKATAA KUSHANGILIA NA WENZAKE.

ROONEY MWENYE JEZI NAMAB 10 AKIWA NA REFA PHIL DOWD WAKATI WENZAKE WAKISHNAGILIA BAO LA NNE LILOFUNGWA NA WELBECK




ROONEY AKITEMBEA TU BAADA YA KUTENGENEZA GOLI LA 3 LILOFUNGWA NA VAN PERSIE.




Back in the side: Wayne Rooney returned to the Manchester United team on Saturday
ROONEY AKIWA KAZINI HUKU REFA PHIL DOWD
 



Back in the side: Wayne Rooney returned to the Manchester United team on Saturday

ROOONEY AKIWATOKA WACHEZAJI WAWILI WA FULHAM
 

Wayne Rooney  Wayne Rooney

DAVID MOYES AKIWA NA WAYNE MARK ROONEY AKAIJIANDAA KUINGIA KUCHUKUA NAFASI YA GIGGS
 
 
 
On the bench: Wayne Rooney started as a substitute for Manchester United in their season opener
 
ROONEY AKIWA NA MSHAMBULIAJI HATARI WILFRED ZAHA
Upset: Wayne Rooney looks despondent as he arrives for the game at the Liberty Stadium
WAYNE ROONEY AKIWA MBELE YA NAHODHA VIDIC AKIINGIA UWANJA Liberty Stadium
Wanted: Chelsea and Jose Mourinho wish to take Rooney to Stamford Bridge
 

Fit? The striker played more than 45 minutes for England against Scotland at Wembley


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni