Jumapili, 23 Juni 2013

BARANA BA ANATIA HAURUMA HATA CHAKULA HAKIGUSI ANAMLILIA MAMA YAKE TU KWA UCHUNGU

Elias Barnab Inyasi yupo katika hali mbaya wapenzai mashabiki wake mwombeeni kataika hali hii mbaya
Toka jana Amini ndiye amabaye aliweza kutoa taarifa juu ya kifo Barnaba alikuwa hawezi kuongea kabisa na hali chakula chochote huku akilia kwa uchungu kwa kumpoteza mama yake mazazi
Bwana ametoa na katwaa jina lake lihimidiwe





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni