Jumanne, 9 Julai 2013

MONACO NI KUFURU SASA WAMNASA ABIDAL.....AUNGANA N WENGINE SITA FALCAO NDANI

Mchezahi Eric Abidal amejiunga na klabu yayake ya zamani  Monaco ya Ufaransa aakitoke Barcelona ya Hispania.

Abidal mwenye umri wa miaka 33 alitumika Barcelona kwa miaka 6 na kucheza michezo 125 kwa miamba hiyo ya soka nchini hispania.

Abidal alimshukuru rais wa Monaco kwa kumamini hasa kipindi hiki ambacho hali yake ya kimwili ilikuwa mashakani na hakutumaini kama angekumbukwa.

Abidal anaunga na wachezaji sita waliosajiliwa eremy Toulalan, Radamel Falcao, James Rodriguez, Joao Moutinho and Ricardo Carvalho.

Alisema kuwepo Falcao hapa ni sahihi na kuahidi atashirikiana na wenzake kuhakikisha  Radmel Falcao anafunga magoli mengi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni