Mahakama kuu ya kikataiba Adli Mansour kuapishwa kuiongoza Misri.
Mohammed Morsi alikuwa rais aliyechaguliwa na watu lakini alishindwa kutimiza mahitaji yao na kuelemea kwenye sera za dini ya kiislamu na kushindwa kutatua matatizo ya kiuchumi.
Wananchi wamejaa mtaani kushangilia mapinduzi ya kijeshi.


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni