Ijumaa, 5 Julai 2013

JAJI MANSOUR AMEAPISHWA KUIONGOZA MISRI,MATAIFA MBALIMBALI YAPINGA

Jaji mkuu wa Kikatiba nchi Misri ADLI MANSOUR ameapishwa kuwa rais wa nchi hiyo baada ya Mohammedi Morsi kupinduliwa na wanajeshi.
Mohammedi Morsi kutoka cham cha Muslim Brother hood alipinduliwa na wanajeshi kutokana kile kinachoitwa kujali ajenda ya uislamu kuliko kutatua matatizo ya kiuchumi
Gudo Westewelle Waziri wa mashauri ya kigeni wa Ujerumani AMEPINGA MAPINDUZI HAYO


WANANCHI WAKIFURAHI

 ADLI MANSOUR
MOHAMMEDDI MORSI

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni