Perez ambaye amtwaa wenyekiti wa klabu hiyo kwa mara nyingine...anaonekana kuweza kuwalidhisha mashabiki wa Madrid na hivi karibuni alifanikiwa kumbakiza mchezaji wa Real Madrid.
Asier ni mmoja wa wachezaji ambao Carlo Ancelotti aliwataka na hivyo Perez alisema kuwa lazima wafanya vile apendavyo.
RAIS WA REAL MADRID PEREZ
PEREZ AKIWA NA ILLARRA


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni