Jumapili, 30 Juni 2013

OBAMA ATEMBELEA GEREZA ALILOFUNGWA MANDELA MIAKA 18....NA PICHA 6 KATKA MATUKIO TOFAUTI

HAPA NA MKE WA MANDELA




WANACHO WAKIMFURAHIA OBAMA
 I

OBAMA AKIWA GEREZA ALILOFUNGWA MANDELA KATIKA KISIWA CHA ROBBEN

HAPA NI KWENYE TAFRIJA LILILOANDALIWA NA JACOB ZUMA

FAINALI KALI LEO.BRAZIL VIPAJI VYA ASILIA VS HISPANIA VIPAJI VILITENGENEZWA.JEURI YA VIPAJ AT MARACANA

NI BRAZIL VS HISPANIA KOMBE LA MABARA


Hitimisho la kombe la Mabara leo kule jijini Rio de Janeiro katika uwanja wa Maracana miamba ya soka itaumana kumsaka bingwa wa kombe hilo pia kutoa taswira ya soka yupi ni mbabe zaidi.
KIUFUPI VIVUTIO VYA MECHI HII.
1.Brazil ndio wenyeji wa kombe hilo na kombe la dunia-Brazil inakkazi kubwa ya kuridhsha mashabiki wa soka nchi kwao kwani walipew imani ndogo ili kuzuia maneno na kuudishwa nyuma lazima wachukue kombe hili nyumbani.
2.Brazili inataka kurejesha ufalme wa soka kuelekea 2014.Baada ya kupoteza dira chini ya Scolari Brazil wanataka kuwaonyeshawatu kuwa wao ni waflme wa soka kwa muda wote kwa kuwavua ubingwa kila mahala watakapokutana natimu kama Hispania.Pia kuwapa imanai mashabiki kueleka 2014.
Hispania kutaka kutawala soka.Hispania inataaka kuitwa wafalme wa soka kipindi hiki kuliko chote kuelekea fainali hii ambapo walionekana kupwaya na wamerudi watataka kuziba midomo ya watu wote walikuwa wanadhani wameshuka
Kiburi cha vipaji kwa timu zote
Hispania  inaonekana pia kuimarika zaidi na zaidi katika kuwa na ujeuri wa vipaji  vingi vilivyotengenezwa kwani wamechukua kombe ladunia la vijana kwa ngazi zote za chini.
Brazil wao ni asilia japo hazina zao zimeanza kuonekana kuishika duna kwa kusambaa maeneo mbalimbali dunia hasa kwenye klabu kubwa,mfano Neymar,Moutinho,osacar 

Pia Neymar na Toress wanaweza kufanya macho ya watu kuwaangalia sana.Torres amesema kuwa karudia makali yake ya awali na Neymar kaonesha kuwa nastahili kupewa sifa za akina Ronaldo na Messi

Jumamosi, 29 Juni 2013

OBAMA ASHINDWA KUMUONA MANDELA,WAANDAMANAJI WAMWITA HITLER

Obama aliwasili Ijumaa jioni katika nchi ya Afrika Kusini akitokea nchini Senegal akiwa na familia yake amabpo anatarajiwa kutembelea kisiawa cha ROBBEN ambako Mandela alifungwa miaka 18.

Lakini Obama ambaye alipata fursa ya kuzngumza bbaada ya kumaliza mazungumzo

Na rais wa nchi hiyo Jacob Zuma aikutana na upinzani wa watu ambao waliandamana kupinga sera za Marekani ambazo zimesababisha mauaji kama vile Libya,Afghanstan,Pakistani HUKU WAKIWEKA PICHA YAKE IKIWA NA NDEVU KAMA HITLER.ishara ya kumuonesha yeye ni muuaji.

Hatahivyo polisi waliwatawanya kwa kutumia risasi za mpira,na kufanikiwa kuweka hali shwari nje ya Chuo Kikuu cha Petroria.

Obama hajanikiwa kukutana Mzee MANDELA kutokana n matakwa ya familia kulinda staha ya Mandela na itakuwa vigumu kwa kuwa ombi lake ni la ghafla.Ila atakutana na familia yake Mandela
Obama ataondoka nchi hiyo Jumatatu na kuja Tanzania

MKE WA ZAMANI WA MANDELA AELEZA JAMBO JIPYA KUHUSU MANDELA

Mke wa Zamani wa Nelson Mandela Winnie Madikizela-Mandela amesema kuwa hali yake Mzee Madiba imeboreka kwa kiwango kikubwa kuliko siku chache zilizopita.
Akizungumza nyumbani kwake na waandishi wa habari alisema pamoja na kuwa na hali mbaya kwa kuwa anachoumwa ni kitu kikubwa lakini ni afadhali sana kuliko siku chache zilizopita.
Binti wa Mandela Makaziwe alisema
kuwa baba yake ingawa alikuwa na hali mbaya ila aliweza kuona na kugusa.
Mandela yupo katika hospitaliya Petroria Mediclinic kwa takribani siku ishirini.
WINNIE MANDELA

HAWA NDIO WACHEZAJI WATATU(3)TU WALIO KATIKA WASHEHERESHAJI 100 B0RA DUNIANI WENYE NGUVU YA USHAWISHI

Katika orodha iliyotolewa a jarida la FORBDES la marekani amabalo limetowa orodha ya washehereshaji 100 wenye nguvu ya ushawishi duniani ambapo mwanamama Oprah Winfrey akiongoza orodha hiyo cha kusikitisha wachezaji watatu 3 tu ndio wamo katika orodha hiyo ya 100 bora.
Orodha hii imejaa  waigizaji ,wasanii wa muziki na waandaji wa filamu pamoja na watangazaji.


WACHEZAJI WA SOKA AMBAO WAPO KATIKA ORODHA YA 100 BORA  NI WATATU 3 TU
1.David Beckham wa kwanza kwa wanasoka ila ni kumi na tisa(19) katika orodha ya jumla.
Nguvu yake ya ushawishi si ya kuuliza sana kwani amekuwa akiongoza kwa kulipwa hela nying mara nyingi,kuingiza pesa nyingi,kufanya matangazo mengi hasa penzi lake na Posh limezidi kumfanaya awe juu.
Ushuhuda mkubwa alivyoenda China karibuni tumeona jinsi alivyokuwa na ushawisi kwa watu.










2.Cristiano Ronaldo wa pili kwa wanasoka ila ni thelathini na mbili (31) katika orodha ya jumla.
Toka umasikini mpaka kuwa tajiri ni kazi kubwa sana.Si tu mwonekano wake mzuri ,mwili wa mazoezi.,kipaji cha hali ya juu muda wote,ila pia ni mtu amabaye anajitolea kwa ajili ya watu maskini sana na anaumia kuokana anajua hali halisi ya huko.
Ronaldo anavutia sana makampuni kumpa matangazo kwa sababu anavyoonekana katika jamii pia kutoka na mastaa wakubwa kama Kim Kardishian,Paris Hilton,Rihanna na wengineo kunampa mvuto wa kibiashara sana.


3.Lieon Messi wa tatu kwa wanasoka ila ni wa thelathini na tisa (39) katika orodha kiujumla.Ni mchezaji amabye ametikisa duniani na kusaidia kuitangaz sana liigi ya Hispania  kutokana na ushindani wake na Ronaldo.Pia umahiri mkubwa wa kufamaniwa nyavu .
Messi anashugulika na jamii kama hivi karibuni kaingia katika mpango wa kusmabaza vyandarua laki 4 Afrika.

Hao ndio wanasoka waliopo katika mia moja bora ni kitu kisichofurahisha kuona wachache na wameanzia mbali.
BY MCHOPER

Ijumaa, 28 Juni 2013

MCHEKI HUDDAH MONROE NDANI YA BONGO,KUANZI AIRPORT MPAKA MJENGONI CLOUDS

Huyu anafahamika kama Huddah Monroe ni mwanamitindo wa nchini Kenya ila pia ni mshiriki wa BIGBROTHER mwaka huu lakini kwa bahati mbaya alitoka mapema sana.
Lakini kazidi kuwa maarufu kutokana na vituko vyake.Ila hapa kazidi umaarufu pia kutokana na bifu na Diva wa clouds FM huku ikisemekana chanzo ni CMB Prezzo japo Huddah kakataa kama ni Bifu .
Huddah kaonekana kuepusha shari kwa kusema kuwa ni rafiki yake .

AIR PORT NA MWENYEJI WAKE

THE BOSS LADY HIMSELF

BONGO LAND







HUDDAH WITH DJ FETTY IN CLOUDS FM

HUDDAH MONROSE

MTOTO WA OBAMA MALIA AN OBAMA KATIKA POZI MBALIMBALI MTAANI,KIVAZI CHAKE NI SAHHI

Huyu ni mtoto wa Brack Obama Malia An Obama akiwa maani huku picha hizi zikileta mjadala juu ya umri wake wa miak 12 na nguo alizovaa kama mtoto wa rais ni sahihi.



JESUS NAVAS AICHINJA ITALIA,HISPANIA VS BRAZIL MARACANA FAINAL




Hispani jana ilifanikiwa kuzima ndoto za Italia kulipiza kisasi cha kuifunga Hispania baada ya kumalizwa katika matuta kwa jumla magoli 7-6.
Jesus Navas hakufanya kosa baada ya mlinzi wa Italia Leonard Bonnuci kukosa penalti na kupeleka furaha hispania.
Italia ikicheza kwa jihadi bila mshambiliaji wake hatari Mario Balotelli ambaye ni majeruhi ilifanikiwa kutoa sare hadi dakika ya 90.
Fainali itafanyika pale Maracana jiji la Rio de Janeiro kwa kutanisha wenyeji Brazil na Hispania

HAWA NDIO WALIOPIGA PENALT

  • Spain 0-1 Italy - Candreva
  • Spain 1-1 Italy - Xavi
  • Spain 1-2 Italy - Aquilani
  • Spain 2-2 Italy - Iniesta
  • Spain 2-3 Italy - De Rossi
  • Spain 3-3 Italy - Pique
  • Spain 3-4 Italy - Giovinco
  • Spain 4-4 Italy - Ramos
  • Spain 4-5 Italy - Pirlo
  • Spain 5-5 Italy - Mata
  • Spain 5-6 Italy - Montolivo
  • Spain 6-6 Italy - Busquets
  • Spain 6-6 Italy - Bonucci MISSES
  • Spain 7-6 Italy - Navas

MAGAZETI YA LEO IJUMAAA HAYA HAPA..KATIKA MABORESHO YA USOMAJI











Alhamisi, 27 Juni 2013

RONALDO AMUITA MOYES MEZANI

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United na sasa Real Madrid inasemekana amefungua milango ya wazi kurudi Old Trafford baada ya kubainika atafanya mazungumzo baada ya siku tatu na klabu ya Manchester United.


Ronaldo anaweza kuondoka kwa urahisi baada ya Liverpoool kumuita wakala wa Suarez kuhusiana na habari kuwa Real Madrid wamefikia muafaka na Suarez.
Sasa kusajiliwa kwake Suarez kunaweza kufungua milango kwani itawawi vigumu kumuweza kummliki Ronaldo

OBAMA HUYU HAPA SENEGAL,WANANCHI WALALAMA UHURU WAO MDOGO

Wakati tukimsubiri Obama huku jiji la Dar es Salaam likizuiwa wageni kuingia Obama atapowasili huku wengi wakijiuliza ni raha au karaha,huko Senegal mambo magumu kwa wananchi.
Dereva mmoja alisema "Tangu ilipotangazwa kuwa Obama anakuja Senegal kutembelea Senegal, nchi imekuwa chini ya ufuatiliaji kiwango cha juu," alisema Lamine Bayo, 43 na umri wa miaka dereva teksi.
"Uhuru wetu ni mdogo kiasi fulani, hasa kuhusu kufungwa kwa barabara nyingi Kama mtu anahitaji kwa haraka kupata hospitali, wanaweza kuwa na matatizo.".
Obama atazungumzia uchumi na demokrasia sana atapozungumza na Rais wa Senegal Macky Sall
obama na familia yake wakishuka kwenye ndege kuwasili Senegal

Obama aisalimiana na wanausalama wa Senegal

WAJUA KUWA CARLOS TEVEZ NI MFALME

Baada ya kupitia kipindi kigumu katika klabu ya Manchester City cha kukaa nje kwa muda mrefu kulipishwa faini hatimaye akarejea katika kikosi lakini sasa Carlos Tevez ni mfalme.
Huamini kama ni mfalme lakini cha kukuthibitishia ni kuwa mapokezi yake ni hitaji kubwa sana kwa Juventus lakini kubwa akazawaidiwa namaba ya Mfalme aliyepita Del Piero.namba 10.Hakika kaupata ufalme.
Haikuwa kazi kubwa kwa Juventus kumchukua mfalme mpya baada ya kusafiri hadi jiji la Manchester kukabidhi milioni 10.
Namba kumi ilivaliwa na wafalme muda wote MICHAEL PLATINI,LIAM BRADY,KARIM BAGGIO na ALEXANDRE DEL PIERO.
TEVEZ alisema anahisi ana wajibu mkubwa kwa kuvaa jezi hiyo namba kumi na natambua wajibu mkubwa wa kuwakilisha klabu yake ya Juventus.
Tevez ni mfalme wa JUVENTUS