Alhamisi, 19 Februari 2015

TAARIFA 5 KUBWA KUTOKA BARANI ULAYA

#UW 
Nakuletea taarifa 5 kubwa kutoka katika soka la ulaya 
Mlizni wa Madrid Varane

Kuna taarifa kutoka ndani ya klabu ya Real Madid ambazo zinaweza kuwa si nzuri kwa wapenzi wake.
Mkongwe wa klabu hiyo ambaye hutumikia nafasi ya beki wa kati Pepe na beki wa kimataifa wa Ufaransa Varane wataondoka katika klabu hiyo na Manchester United na Chelsea imetaarifiwa kuwinda mabeki hao.
Beki wa Reak Madrid  Pepe


#2 
Mchezaji mkongwe wa zamani wa Chelsea na timu ya Taifa ya Ufaransa Nicolas Anelka amemtaka nyota kijana wa Juventus Paul Pogba kuhamia klabu ya Chelsea au Rea Madrid.
Paul Pogba kiungo wa Juventus

#3
Klabu ya Swansea baada ya kumpoteza nyota wake kutoka Ivory Coast Wilfried Bony waliomuuza Manchester city.Sasa wanamuwinda mshambuliaji wa Andrletch Aleksandar Mitrovalic mwenye miaka 20 aje kuziba pengo la Bony.
Mitrovalic mchezaji wa Andrletch


Kocha wa zamani wa Manchester United alishangaza baada ya kutembelea katika hotel ambayo Chelsea walifikia kuelekea mchezo wa Uefa dhidi ya PSG.Na alijumuika na kocha wa Chelsea Jose Mourinho kupata kikombe cha kahawa.
Jose Mourinho na Alex Ferguson



Klabu ya Manchester united bado inatokea katiika tetesi za usajili kwa kuhitaji saini ya kiungo wa Gundogan.Na watafanikiwa kumnyakua endapo kiungo huo akikataa ofa mpya ya kubakia Westfalenstadion.
Gundogan anayehitajiwa na Manchester united

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni