Ijumaa, 21 Juni 2013

HAYA NDIO MAAFA YA BECKHAM CHINA ONA PICHA AKIKABITHIWA TUNZO

Ziara ya David Beckham huko China katika chuo Tongji University kilichopo Shngahi imeleta maafa baada wanafunzi watano na polisi wawili kujeruhiwa kutoka wingi wa watu waliokuwa wakitaka japo kumuona staa huyo wa soka duniani. 


Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester United na Real Madrid alikuwa akutane na wanafunzi wa chuo hicho ambao ni wanasoka ikiwa ni moja ya kazi zake atakazofanya China katika dili lake la kuipromoti ligi kuu ya nchi hiyo.

Beckhama ambaye alitegemewa kuhutubia lakini hakufanikiwa kutokana na vurugu kutokea aliwaomba radhi mashabiki kupitia page ya Facebook na aliongeza kuwa anatumaini wapo salama..

Pia Bekham amepewa vikombe mbalimbali kama kutambua mchango wake.

BECKHAM AKIINGIA UWANJANI


RAIA WAKIWAZIDI POLISI NGUVU

POLISI AKIOKELEWA

HAPA AKIWA NA MEYA WA SHANGAI

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni